MATUKIO MBALIMBALI YA PICHA WAKATI WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI NSEMULWA WAKIJIFUNZA KWA VITENDO JUU YA MASWALA YA TASNIA YA HABARI


 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nsemulwa Manispaa ya Mpanda wakiwa katika picha ya pamoja na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Katavi Mara baada ya kupata elimu kwa vitendo kutoka kwa Waandishi wa vyombo mbalimbali  vilivyopo Mkoa wa Katavi wakati wa ziara ya mafunzo kuhusu maswala ya Tasnia ya Habari  waliyoifanya leo Desemba 8,2021 katika ofisi ya Chama cha Waandishi wa Habari.


Picha na Katavi Press club 

Mwandishi wa Habari (Uhuru Media) Irene Temu akitoa Elimu kuhusu Tasnia ya Habari kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nsemulwa walipotembelea ofisi ya Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Katavi iliyopo eneo la madukani Manispaa ya Mpanda.(Picha na Paul Mathias,Katavi Press Club)






Search This Blog

CHAGUA HABARI

Pages