Sister Rose Sungura. |
Waandishi wa Habaari wa Mkoa wa Katavi wamepongezwa na Mkuu wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha Mtakatifu Yohane kinachosimamiwa na Sister Rose Sungura mara baada ya kupokea vitu mbalimbali kutoka kwa mbunge wa jimbo la Mpanda Mjini Sebastiani Kapufi.
Waandishi wa Habaari wa Mkoa wa Katavi wamepongezwa na Mkuu wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha Mtakatifu Yohane kinachosimamiwa na Sister Rose Sungura mara baada ya kupokea vitu mbalimbali kutoka kwa mbunge wa jimbo la Mpanda Mjini Sebastiani Kapufi
Sister Rose
Sungura amesema anawashukuru waandishi wa habari kwa kuandika taarifa makini
katika tasnia ya habarikwa kuitendea haki kwa kutoa taarifa mbalimbali.
Amewakalibisha
jamii ya watu wa Mpanda kwa kuendelea kukitembelea kituo hicho kwaajili ya
kuwaona watoto wanaolelewa kituoni hapo.
Katika hatua nyingine amewatakia kheri ya Mwaka mpya waandishi wa habari na wanampanda kwa ujumla.