Waendesha
Pipiki Maalufu kama Boda boda katika Mkoa wa Katavi wameonywa kutokuwa sehemu
ya kufanikisha vitendo vya uhalifu na wahalifu katika shuhguli hiyo
wanayoifanya kwenye Jamii.
Waendesha Pipiki Maalufu kama Boda boda katika Mkoa wa Katavi wameonywa kutokuwa sehemu ya kufanikisha vitendo vya uhalifu na wahalifu katika shuhguli hiyo wanayoifanya kwenye Jamii.
Mwamasika
amesema kuwa kumekuwa na baadhi ya waendesha pikipiki yaani bodaboda kujiingiza
katika vitendo vya uhalifu na miongoni mwao kufanikisha uhalifu kupitia kazi
yao hiyo hali ambayo si njema mbele ya jamiii na taifa kwa ujumla.
Waendesha pikipiki maalufu kama Bodaboda mkoa wa katavi wakisiliza elimu kuhusu masuala ya usalama barabarani [Picha na Paul Mathias] |
Amesema
serikli inatambua umuhimu wa Vijana hasa waendesha Boda Boda kwa kuwa sehemu
Rasimi kwa kujiaajili katika kazi hiyo ya uafisa usafirishaji kwa lengo la
kujipatia kipato na kupunguza wimbi la changamoto ya ajila kwa vijana.
‘’niwaombe
sana chombo hiki kama maafisa usafirishaji kimerasimishwa na serikali kama
sehemu kubwa sana ya kuwapatia vijana ajira na wote hapa mmeshajiajili hakuna
kitu kibaya kama mtu anakuja kuchezea ajila yako ambayo inakupa wewe liziki ya
kuishi pamoja na familia yako kazi yetu hii ya bodaboda ndio inaotupa liziki’’
amebainisha
Awali
akitoa neno kwa waendesha pikipiki hao mkuu wa usalama barabarani Wilaya ya
Mpanda ASP Effeso Sukunelo amewaonya baadhi ya bodaboda hao kutovaa kofia ngumu
zinazitumiwa na wakandalasi na mafundi kutoka shirika la umeme Tanzania Tanesco
kwa kuwa kofia hizo ni maalumu kwaajili ya shuguli hizo na sio kwaajili ya kazi
yao ya Bodaboda.
‘’hakikisheni
mnavaa Kofia ngumu kama huna nenda Dukani kanunue na sio kunivalia Kofia za
wakandalasi mmegeuka sasa hivi mnanunua kofia ngumu wengi wenu mnakofia ngumu
zinazotumiwa na wakandalasi wa Tanesco mnavaa kuanzia leo kama unayo
kaisalimishe kule na nunua kofika ngumu inayojulikana katika kazi yako”
Sukunelo
amesema ajali nyingi zimekuwa zikisabishwa na ulevi,mwendokasi na kutozingatia
alama za usalama barabarani hali ambayo imekuwa ikigharimu uhai wa watu na
watumia vyombo vya moto.
Baadhi ya waendesha Pikipiki Bodaboda wakiwa katika hali ya utulivu wakati wakipatiwa semina ya masuala ya usalama Barabarani. |
Mwakalambo
amewaasa vimgozi wa vijiwe vya Bodaboda kuwa na utamaduni wa kutoa taarifa za
ujio wa wageni wanaofanya kazi hiyo hiyo ya boda ikiwa ni sehemu ya kuzibiti
vitendo viovu vinavyolipotiwa kwa kuhusishwa na kundi la Bodaboda.
Nemesi
Afled Dereva Boda katika mkoa wa Katavi amesema semina hiyo ya kuwajengea uwezo
juu ya masuala ya usalama barabarani itakuwa chachu kwao kwa kufanya kazi yao
kwa kuzingatia kanuni za usalama barabarani na kutambua kuwa wao ni sehemu ya
jamii inayotegemewa na familia zao.
kwa habari zaidi tembelea ukurasa wetu wa
kataviclub.blogspot.com