KAPUFI AHUDHURIA MKUTANO WA MATAIFA TAJIRI DUNIANI


Baadhi ya washiriki wa utangulizi wa mkutano wa nchi Saba Tajiri Duniani ambapo Sebastian Kapufi Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini nimiongoni mwa waliohudhuria kikao hicho Nchini Japan

Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini Sebastini kapufi amehudhuria kikao cha Utangulizi cha Nchi Saba Tajiri Duniani na ameweza kutoa maada kwenye kikao hicho kuhusu idadi ya watu na faida zake na madhara yatokanyo na ugojwa wa uviko 19 kwa vijana.

Kikao hicho cha nchi Saba Tajiri Duniani kinafanyika nchini Japan ambapo Mh Kapufi nimiongoni mwa washiriki walipewa fursa ya kutoa maada kwenye kikao hicho mhimu Duniani kinacho jadili mambo mbalimbali.

Akihutubia mkutano huo Mh Kapufi amewasilisha maada kuhusu idadi ya watu, Madahara yanayotokana na ugojwa wa uviko 19 kwa vijana, Ajira na fursa za uwekezaji kwa vijana kwenye mkutano huo mhimu kwa mataifa Tajiri Duniani .

Mkutano huo unatajwa kuwa na muarobaini katika kutatua changamoto za vijana kwenye fursa za uwekezaji pamoja na mapambano ya ugojwa wa uviko 19.

Search This Blog

CHAGUA HABARI

Pages