Neemia James Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Wiki ya Mwanakayavi itakayoanza October 25/31 katika Viwanja vya CCM Azimio Mpanda Mjini. |
Na Paul Mathias-Katavi
Ikiwa imebaki siku moja kuanza
kwa wiki ya Mwakatavi ambayo itazinduliwa na mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua
Mrindoko kuanzia 25/10/2023 hadi 31/10 2023 katika Uwanja wa CCM Azimio Mpanda
Mjini.
Ikiwa imebaki siku moja kuanza kwa wiki ya Mwakatavi ambayo itazinduliwa na mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko kuanzia 25/10/2023 hadi 31/10 2023 katika Uwanja wa CCM Azimio Mpanda Mjini.Muonekano wa Mabanda kuelekea Wiki ya Mwanakatavi Katika Viwanja vya CCM Azimio
Tumefika katika Viwanja vya CCM
Azimio ili kjionea maandalizi yanavyoenenda kufikia wiki ya Mwanakatavi ambapo
tumeona maandalizi yakiwa yanaelendelea huku tukishuhudia taasisi mbalimbali
zikiendelea kuweka mabanda kwaajili ya shughuli hiyo.
Amesema kuwa tayari wajasiliamali
kutoka mikoa ya Dar es salamu na Tabora kwaajili ya kushikriki kwenye Wiki ya
Mwanakatavi na kuwaomba wananchi kujitokeza kwa Wingi ili kujionea bidhaa
mbalimbali zonazopatikana katika mkoa wa Katavi pamoja na fursa zilizopo.
Wiki ya mwanakatavi inabeba dhima
ya kutangaza mkoa wa Katavi katika sekta mbalimbali ikiwemo Kilimo,
Uwekezaji,Utalii,Michezo na kiashiria cha
kuanza kwa Msimu wa kilimo 2023/2024.
Fursa hii ni Mhimu kwa wananchi katika mkoa wa Katavi wananchi tujitokeze kwa wingi kushiriki Wiki ya Mwanakatavi.