Baadhi ya Madiwani katika Halamshauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi wakiwa katika kikao hicho cha Kupitisha Rasimu ya Bajeti. |
Na Walter Mguluchuma-Mpanda
Msitahiki Meya wa Manispaa ya Mpanda Haidary Sumry akifungua kikao cha Kupisha Rasimu ya Bajeti kwa Manispaa ya Mpanda |
Halmashauri ya Manspaa ya Mpanda imepitisha mapendekezo ya rasimu ya Mpango wa Bajeti ya waka wa fedha 2024/ 2025 ikiwa imezingatia vipaombele vya miradi muhimu ya maendeleo huku fedha za mapato ya ndani zikiwa ni zaidi ya shilingi Bilioni 5.2
Manispaa hiyo kwa
mwaka fedha wa 2022/2023
iliweza kukusamya kiasi cha
Tshs 25,806,650,000.00 kutoka
kwenye vyanzo vyake
mbalimbali vya mapato .
Mapemdekezo hayo ya bajeti yamepitishwa katika kikao cha
Baraza la Madiwani la Manispaa ya Mpanda
kilichofamyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo na kuoongozwa
na Msitahiki Meya wa Manspaa
ya Mpanda Haidari
Sumry .
Kaimu Mkuu wa Idara ya Mipango wa Manspaa ya
Mpanda Leonard Kilamuhaa akiwasilisha
mapemdekezo ya Bajeti hiyo kwa
Baraza la Madiwani aamesema kwa
mwaka ujao wa fedha wa 2024/2025 Inatarajia kukusanya
na kupokea jumla ya Tshs
27,553,717,500,00 huku mapato ya ndani
ikiwa ni Tshs 5,241,761,500,00.
Kilamuhaa alieleza kuwa ili kuweza kufikia malengo
ya ukusanyaji wa mapato ya
ndani ya mwaka ujao wa fedha wamejiwekea mikakati mbalimbali ambapo
ameitaja baidhi ya mikakati hiyo kuwa
ni kuongeza idadi ya [POS] Mashine za kukusanyia mapato ili kuweza
kusaidia kuzuia mianya ya upotevu wa fedha .
Mkakati mwingine
ameutaja kuwa ni kuendelea
kuhamasisha uwekezaji wa viwanda
katika maeneo yao
ili malighafi zinazopatikana kwenye Manispaa ziendelee kuongozeka thamani
na kuleta tija kwa wananchi .
Msitahiki Meya wa Mamispaa
ya Mpanda Haidari
Sumry amewaeleza wajumbe wa kikao
hicho kuwa bajeti hiyo imelemga zaidi
kwenda kuwatatulia wananchi changamoto
mbalimbali na kuwaletea
maendeleo.
Amesemea katika
kuhakikisha bajeti hiyo inalenga
kutatua kero za wananchi ndio
maana wametenga fedha kwa ajiri
ya kununua gari
jingine la kusomba
taka ili kusiwepo
na mlundikano wa taka kwemye
mamispaa hiyo .
Amewata watemdaji wa kuweka
kipaumbele tana cha kuchomga barabara
kwemye maeneo yote ambayo yanayokuwa yamepimwa kwani kwa mwaka
huu wa fedha wamweza kufanya vizuri sana kwa kuweza kufungua barabara .
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Sophia Kumbuli
amesema kuwa mchakato huu
wa mapendekezo ya bajati
hauta ishia hapo bali unaendelea tena kwenye
hatua myingine zaidi