Na Walter Mguluchuma-Katavi
Wakala wa Barabara
Tanzania (TANROADS) Mkoa wa
Katavi kwa kipindi
cha miaka mitatu ya
uongozi wa awamu ya sita inayoongozwa
na Rais Dkt Samia
Suluhu Hassan wanatekeleza
miradi nane ya ya kimkakati ya Kitaifa
yenye zaidi ya shilingi
zaidi ya Bilioni 400.
Hayo yamesemwa
na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Katavi Mwandisi
Martini Mwakabende wakati alipokuwa akitowa taarifa ya
utekeleza wa miradi wa shughuli
za utekelezaji wa miradi ya ya kimkakati inayoendelea kutkelezwa katika
Mkoa huu mbele ya wandishi wa
Habari .
Mwandisi Mwakabende
amesema katika kipindi cha
uongozi wa Rais wa awamu ya
sita Dkt Samia
Suluhu Hassan Wakala wa Barabara
Tanzania (TANROADS)Mkoa wa
Katavi wanatekeleza miradi
8 ya kimkakati ya Kitaifa yenye
jumla ya shilingi Bilioni
410.81.
Ambapo miradi
hiyo itakapokuwa imekamilika yote itaufanya
Mkoa wa Katavi kuwa
na mtandao wa barabara
zenye kiwango cha lami zitakuwa
na urefu wa kilometa 548.45kwa
Mkoa mzima huu.
Amesema TANROADS
Mkoa wa Katavi wanapongeza juhudi kubwa
za Serikali ya awamu ya sita kwa kukamilisha ujenzi kwa kiwango cha
lami kwa barabara ya
Mpanda hadi Tabora pamoja na kuanza kwa ujenzi wa lami kwa barabara za
Vikonge Luhafwe yenye urefu wa kilomata 25, hadi
Mishamo Kilometa kilometa 37.35.
Amezitaja barabara
nyingine kuwa ni Kibaoni hadi
makutano ya Mlele kilometa 50
Kagwira hadi Karema kilometa 110.29 pia wanamiradi ya lami katika miji
kwa ujenzi wa kiwango cha
lami katika miji ya
Mapili kilomita Mbili ,
Ilunde kilometa nne
Maji Moto kilometa
2.5 Usevya kilometa 4.13 Kawajense kilometa
3 na Mpanda
hadi airport kilometa tatu
nakufanya jumla ya kilometa 18.73
walizoweka kwenye maeneo ya
miji .
Kuhusu taa za
barabarani wameweza kuweka
jumla ya taa 719 sawa na asilimia 77
zenye thamani ya shilingi Bilioni 2.4 zimewekwa
na kufanya Mkoa wa Katavi
kuwa na taa za barabarani
jumla 932 zenye thamani ya
Shilingi Bilioni 2.9.
Mkuu wa Kitengo cha
matengenezo ya Barabara TANROADS
Mkoa wa Katavi
Mwandisi Albert Raizer amesema
hali ya barabara kuu kwa ujumla
ni nzuri na zinapitika vipindi vyote na
barabara za Mkoa
zinapitika katika kipindi chote
cha mwaka .
Raizer amefafanua kuwa TANROADS
M koa wa Katavi wameendelea
kupokea kupokea fedha
kutoka Serikalini kwa
ajiri ya ukaguzi
wa madaraja na
kuhakikisha kuwa barabara
zinapitika kwa muda wote .
Kuhusu
ujenzi wa madaraja amesema
shughuli za ujenzi yote ya
miradi ya madaraja imekuwa ikifanywa na wakandaeasi wazawa chini ya
usimizi wa Tanroads na wameweza kusimamia ujenzi wa
madaja makubwa kama
yafuatayo Daraja la Mirumba
lenye urefu wa mita 42 60, ujenzi
wa daraja la mto
Rugufu mita 42, na ujenzi wa mto
Kavuu