Usafi ukiendelea kufanyika katika eneo la Nyuma ya Ukumbi wa mikutano wa Idara ya Maji Mpanda Manispaa |
Na Walter Mguluchuma.
Katavi,
Eneo
la ukumbi maarufa wa mikutano ulipo kati kati ya
Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi unao milikiwa na
Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika eneo ambalo likuwa
linalalamikiwa na wananchi kwa kuhofia usalama wao kutokana na kuwa
kichaka limeanza kufanyiwa usafi .
Muonekano wa Eneo la ukumbi wa mikutano Idara ya Maji kabla ya kufanyiwa usafi |
Eneo la ukumbi maarufu Idara ya Maji wa mikutano ulipo kati kati ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi unao milikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika eneo ambalo likuwa linalalamikiwa na wananchi kwa kuhofia usalama wao kutokana na kuwa kichaka limeanza kufanyiwa usafi .
Mmoja
wa wananchi wa Manispaa ya Mpanda Ally Juma amepongeza hatua hiyo ya eneo
hilo kufanyiwa usafi kwa kile alichoeleza kuwa likuwa linahatarisha usalama wa
wananchi kutokana na kichaka kikubwa kilichokuwepo kwenye eneo hilo .
muonekano wa usafi ukiendelea kufanyika |
Hatua hii ya kufanyiwa usafi
kwenye eneo hili umekuja ikiwa ni siku chache tuu baada ya wananchi kupitia
chombo hiki kulalamikia eneo hilo kutaka kuhatarisha usalama wa wananchi
kutona na eneo hilo kuwa na kichaka cha nyasi ndefu
Hatua hii iende sambamba na wananchi kuhamasishwa wananchi kuendelea kufanya usafi kwenye maeneo yao ya usafi na maeneo ya taasisi za Umma na Binafsi.