Na George Mwigulu,Nsimbo.
Mbunge wa Jimbo
la Nsimbo,Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi,Anna Lupembe amesema uwekezaji mpya
katika bandari ya Dar es salaam umelenga kuongeza ufanisi zaidi kwenye shughuri
za bandari na kuongeza fedha nyingi zitokanazo na mapato.
Mbunge
wa Jimbo hilo,Anna Lupembe amesem hay oleo katika kitongoji cha Songambele
wakati akizungumza na wanachi baada ya kumaliza kukagua ujenzi wa shule mpya ya
msingi Makomelo ambao unajengwa chini ya mradi wa Boost.
Tizama video hiyo chini.